Friday, March 9, 2018

DIWANI AKAMATWA NA POLISI KWA KUMPIGA NGUMI MUUGUZI KITUO CHA AFYA BUNAMBIU SHINYANGA

  Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga ACP Simon Haule
**

RAIS MAGUFULI KESHO KUFUNGUA BARABARA YA ISAKA - LUSAUNGA NA KIWANDA CHA KAHAMA OIL MILL


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kesho Jumamosi Machi 10,2018 atafanya ziara ya siku moja mkoani Shinyanga.

TRUMP AKUBALI KUKUTANA NA KIM JONG UN


Rais Donald Trump wa Marekani amekubali ombi la Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un la kutaka wakutane mapema ndani ya mwezi Mei mwaka huu,na hivyo kuweka historia kufuatia kutokuwepo rais wa Marekani ambaye amewahi kuonana na kiongozi mkuu wa Korea kaskazini.

MNARA WA SIMU WAANGUKA NA KUJERUHI ASKARI POLISI


JENGO la ofisi ya serikali ya mtaa katika eneo la Goba jijini Dar es Salaam ambalo hutumiwa na polisi, limeangukiwa na mnara wa simu kutokana na mvua iliyonyesha juzi usiku na kumjeruhi askari.